Posted On: May 25th 2026, 11:54 am
Natoa pongezi zangu kwa washiliki wote
#Redbulldancetanzania Mumewakilisha vyema
#TANZANIA Bendera 🇹🇿 Imepepea, Hongera
@king_tiza , Na kwa mshindi wetu
@mr_blawhite wa
#Redbulldancetanzania Umeitanganza vyema Nchi yetu 🇹🇿
Oii
#ranykida kwanza wewe ulikuwa kwenye Aya mashindano ya
#Redbulldancetanzania kama LEGEND Siku ya FAINALI TU, sasa waulize wezako waliokuwa mzunguko wa kwanza pale AmellDar na wewe ulikuwepo pembeni kama LEGEND wa mchezo Sweep,🤷🏿♂️ Wanatakiwa watoto ndo wawatambie watoto wezao, ivyoo na sio wewe wakusema maneno ayo ndo Tunakuja kujuwa wewe sio LEGEND ni fursa tu pia na majaji walikuwa ni Proffesional makini, lakini wewe sio LEGEND unaitaji kwenda kuuliza Kaka zako waliokuinspire kuingia katika hii game Alafu uje utoe maoni yako apo juu Ujumbe huu Ilipaswa Andike Angelnyigu huyu ndie LEGEND ila wewe ulipata fursa kuwa Redbulldancetanzani Sawa chrisborown Alfu Ukisema neno wakina nani sujui wote kwanza Umewakosea Heshima Kaka zako kumbuka Kuna LEGEND BBOY. UNamjuwa bboy Wa Kwanza Tanzania 2009 Mtu Marufu Bboy secky Alie tufanya sisi BBOY Tormas69 BBOY Dogoray BBOY Zungu94 BBOY Peter BBOYJohson BBOY wengi nimesahau majina yao Juwa walikuwa wengi Juwa Kuwa apa TANZANIA Alikuwepo
@bboysecky Unajuwa ni nani na unataka kujuwa katika hii game Amefanya nini na anaendelea kufanya nini watakuambia vzuri Walikuinspire Kaka zako 😁
Load More