Instagram story viewer> @tormas69> Post
a month ago
65
Posted On: June 25th 2026, 01:43 pm
Usipobadilika, hata Matokeo Hayatabadilika. #Ranykida Iko ivi Wewe Kipindi Dancers Tunalipwa Shilingi Elf50 Wewe ulikuwa Secondary Unasoma uku Unajichezea Mitaani kama Fani unayopenda badala ya shule Sasa naludia tena Utakiwi Kuongea Adithi za Kaka zako wanazokumezesha kwenye Ubongo wako, Nakusaidia tu. Shukulu Mungu Kwanza Tena piga ngoti 🙏🏿 Majivuno kujiamini ni Adui atar sana katika maisha Nakuomba Interview nyingine jaribu kusawazisha au usimalize maneno. unavyofikisha mbele ya Vyombo vya Habari... #Malebo Kuwa na kaba 😂 Bado ujafikia wakati ukawa na gang ndo utajuwa kwanini Watu wanasemwa mabaya najuwa Watu wazima wezangu wamenielewa😎

Angalia sister amekufafanulia jinsi Anavyo juwa Dancers mpaka ufike level flan ndo uweze pata icho kitu,

Darasa la Interview ni Muhimu kwa Dancers 🤷🏿‍♂️🤷‍♀️ #ranykida 🥴

Badae nitaludi na Video nyingine mumsikie alivyo sema kuhusu Wasanii,
Comments (65)
abuudansa 18 days ago

abuudansa

Respect ndo kila k2.mdogo kumuheshimu mkubw, mkubwa kumuheshim mdogo. All in all bro @tormas69 we ni legend bro . Just create a new thing bro. Yabwage bro sometime inabidi uishi slave Ili mambo yawe safi @binowrld1

callmehaylan 21 days ago

callmehaylan

Mwache mwenzako😂😂😂

muchotalaplatinaum a month ago

muchotalaplatinaum

👏👏🔥🔥

festo_wizy a month ago

festo_wizy

😂😂😂😂 dansooo au dancer😂😂

squidboycally_ a month ago

squidboycally_

Mi naona mnaangaika tu😂😂kwan si mkae kimya mshut😂😅aya mainterview mi naona usenge tu

don_classicfirst a month ago

don_classicfirst

Kama kaka uo ndo wajibu wako kwetu mstuache mda mwingine tuongee upuuzi tu asant kaka @tormas69

onetwo5246 a month ago

onetwo5246

Ok👏🙌🔥

issasonny a month ago

issasonny

Kaka dance ya zamani ilikuwa ngumu sana wanangu watu walikuwa wanafanya kweli na majivuno hakuna na hata akijivuna unaona anastahili ila sasa hivi wakijua amapiano tu wamemaliza😂....huyo hata kwenye storm step move unaona kabisa kawaida ila mdomo sasa kingine kuambiwa ukweli apendi anakublock kabisa hivi vinaupepo kuna kipindi hatasahaulikà kabisa na hapo ndo ataelewa

sam_tigerking a month ago

sam_tigerking

Tushasahau kulibwa 50

sam_tigerking a month ago
abdulram.255 a month ago

abdulram.255

Yuko sahihi

ksongsalvation a month ago

ksongsalvation

😂😂

afrogervy a month ago

afrogervy

Sure bro

brown_iyobo_8._ a month ago
kid_momo_kg a month ago

kid_momo_kg

Mpaka achane na mziki au co 😅

Load More

More posts

back to up