Visionneuse de stories Instagram> @hansrafael14> Publication
il y a 5 mois
Co Creator: usajili_na_hansrafael14
🚨 UPDATE: Muda huu nimearifiwa kuwa Simba na Chippa United wameshindwana.

Chippa wanataka $450,000 (tsh 1,134,000,000) ili kumuachia Stanley Nwabali,wao Simba hawako tayari kuzidi $250,000 kwa mchezaji aliebakiza mkataba wa miezi sita.

Wakala wa Stanley Nwabali,ambae anajulikana kama Shizzy,Leo amepambana kufanikisha dili hilo Ila mambo yamegoma.

Chanzo changu kutoka Simba kimeniarifu kuwa Hivi Sasa Simba wamefungua mazungumzo na kipa mkubwa mwenye uwezo na uzoefu kutoka Niger 🇳🇪 na wanahitaji kumpata kipa huyo ndani ya saa chache zijazo.

Kaa karibu na @usajili_na_hansrafael14
Download
481
Posted On: January 16th 2026, 10:23 pm
Tagged Users:
🚨 UPDATE: Muda huu nimearifiwa kuwa Simba na Chippa United wameshindwana.

Chippa wanataka $450,000 (tsh 1,134,000,000) ili kumuachia Stanley Nwabali,wao Simba hawako tayari kuzidi $250,000 kwa mchezaji aliebakiza mkataba wa miezi sita.

Wakala wa Stanley Nwabali,ambae anajulikana kama Shizzy,Leo amepambana kufanikisha dili hilo Ila mambo yamegoma.

Chanzo changu kutoka Simba kimeniarifu kuwa Hivi Sasa Simba wamefungua mazungumzo na kipa mkubwa mwenye uwezo na uzoefu kutoka Niger 🇳🇪 na wanahitaji kumpata kipa huyo ndani ya saa chache zijazo.

Kaa karibu na @usajili_na_hansrafael14
Comments (481)
Load More

More posts

back to up