a month agoKafite commente zako kwenye account yangu, mimi sio tapeli kama wewe, JIELEWE umenitapeli 3500 alafu unaendelea kunihalibia biasha
a month ago👏👏👏👏👏 Umejitaidi sana kuweka comment za kuhalibu biashara yangu🔥🔥 ila acha nikuambie wewe unanunuwa vita ya kibiashara ambayo madhala yake ni kuwashtuwa watu ili wakuogope na wakujuwe kwenye utapeli wako 🙌 Jana umesema utanifanyia kitu kibaya, leo sitoamka, nimeamka na naenda kukufungulia kesi, sababu umenihaidi kuwa utanifanyia jambo baya
7 months agoNimelipa, lakini hela hamjaionyesha kwenye balance. Mkaniomba msg ya muamala, nimewatumia lakini mok leo ni wiki mmekaa kimya na msg mna blue tik
a year agoNataka kurudisha akaunt email naikumbuka password nimesahau na lain niliyokuwa natumia nimebadrisha miaka mingi
a year agoNjoo tukufungulie account na uweze kujiboostia mwenyewe na kuboostia wengine
2 years agoNa kuna watu wanaamini 😂 Dah, there’s no such a thing kama ii, weka ig details zako kwa website yao wakuhack wachukue account yako! Me nilishawah kufanya hizi mambo, najiwekea followers hata 1m but naona peke yangu tu ndo ikawa njia ya kudanganyia watu nihack account zao niziuze, 4-5 yrs ago
