Posted On: June 12th 2026, 04:09 pm
Ilikuwa ni heshima kubwa kwangu kupata nafasi ya kusalimiana na Waziri wa Afya Mheshimiwa
@mohamed_mchengerwa Leo hii na kubwa zaidi maneno yake machache ambayo yameweka alama moyoni mwangu “Unafanya vizuri, nakufuatilia” 🙌🏾
Hali yangu ya kupambana imeinuka tena na pale nilipotaka kusimama nimepata sababu nyingine ya kuendelea mbele bila kuchoka wala kukoma.
Asante kwa video
@dullyxd_ #BlessedTillah Load More