Instagram story viewer> @millardayo> Post
5 hours ago
Celebrate the Queens of Football! ⚽👑 From 26 July to 16 August, follow the action of the @totalenergies_tz TotalEnergies CAF Women’s Africa Cup of Nations Morocco 2026. Visit your nearest TotalEnergies service station to learn more and celebrate the passion of women’s football with us.

 #TotalEnergiesCAFWAFCON2026 #FootballTogether
15
Posted On: July 25th 2026, 12:46 pm
Celebrate the Queens of Football! ⚽👑 From 26 July to 16 August, follow the action of the @totalenergies_tz TotalEnergies CAF Women’s Africa Cup of Nations Morocco 2026. Visit your nearest TotalEnergies service station to learn more and celebrate the passion of women’s football with us.

#TotalEnergiesCAFWAFCON2026 #FootballTogether
Comments (15)
mfanyakazi_makini2 4 hours ago

mfanyakazi_makini2

Naomba kufikisha kilio chetu kuhusu haki ya mafao yetu ya NSSF. Sisi ni wafanyakazi tuliokuwa katika Kituo cha Huduma kwa Wateja (Call Center) cha TANESCO, tulioajiriwa kupitia kampuni ya EROLINK LIMITED ambaye pia anafanya kazi na DSTV. Kwa kipindi chote tulichofanya kazi, mwajiri wetu hakuwasilisha michango yetu ya NSSF, na licha ya mkataba wake na TANESCO kumalizika, bado hajatekeleza wajibu huo. Tumefuatilia mara kadhaa bila kupata ushirikiano wa kuridhisha. Wengi wetu kwa sasa hatuna ajira, tuna familia zinazotutegemea, na maisha yamekuwa magumu. Haya ni mafao yetu ya halali ambayo tunastahili kuyapata. Tunazitaka mamlaka husika zilifuatilie suala hili na kuhakikisha tunapata haki yetu. Tunaamini msaada wao unaweza kuwa mwanzo wa suluhisho kwa vijana, akina mama na akina baba wengi wanaoathirika na tatizo hili.

mfanyakazi_makini2 4 hours ago

mfanyakazi_makini2

Naomba kufikisha kilio chetu kuhusu haki ya mafao yetu ya NSSF. Sisi ni wafanyakazi tuliokuwa katika Kituo cha Huduma kwa Wateja (Call Center) cha TANESCO, tulioajiriwa kupitia kampuni ya EROLINK LIMITED ambaye pia anafanya kazi na DSTV. Kwa kipindi chote tulichofanya kazi, mwajiri wetu hakuwasilisha michango yetu ya NSSF, na licha ya mkataba wake na TANESCO kumalizika, bado hajatekeleza wajibu huo. Tumefuatilia mara kadhaa bila kupata ushirikiano wa kuridhisha. Wengi wetu kwa sasa hatuna ajira, tuna familia zinazotutegemea, na maisha yamekuwa magumu. Haya ni mafao yetu ya halali ambayo tunastahili kuyapata. Tunazitaka mamlaka husika zilifuatilie suala hili na kuhakikisha tunapata haki yetu. Tunaamini msaada wao unaweza kuwa mwanzo wa suluhisho kwa vijana, akina mama na akina baba wengi wanaoathirika na tatizo hili.

mfanyakazi_makini2 4 hours ago

mfanyakazi_makini2

Naomba kufikisha kilio chetu kuhusu haki ya mafao yetu ya NSSF. Sisi ni wafanyakazi tuliokuwa katika Kituo cha Huduma kwa Wateja (Call Center) cha TANESCO, tulioajiriwa kupitia kampuni ya EROLINK LIMITED ambaye pia anafanya kazi na DSTV. Kwa kipindi chote tulichofanya kazi, mwajiri wetu hakuwasilisha michango yetu ya NSSF, na licha ya mkataba wake na TANESCO kumalizika, bado hajatekeleza wajibu huo. Tumefuatilia mara kadhaa bila kupata ushirikiano wa kuridhisha. Wengi wetu kwa sasa hatuna ajira, tuna familia zinazotutegemea, na maisha yamekuwa magumu. Haya ni mafao yetu ya halali ambayo tunastahili kuyapata. Tunazitaka mamlaka husika zilifuatilie suala hili na kuhakikisha tunapata haki yetu. Tunaamini msaada wao unaweza kuwa mwanzo wa suluhisho kwa vijana, akina mama na akina baba wengi wanaoathirika na tatizo hili.

fetty__matamu 4 hours ago

fetty__matamu

❤️wqkubwa tu❤️

eustace57 5 hours ago

eustace57

Niko sheli apa, na scrol nimeona tangazo. Namuulix muhudum ata hajui ilo kombe ase! 😂

mgaiwa_company 5 hours ago

mgaiwa_company

● JENGA NASI MASHIMO YA VYOO VYA KISASA KWA BEI NZURI SANAA KWA BEI NZURI SANAA ● MIKOA YOTE TUTAKUFIKIA ULIPO

magari_mjukuu 5 hours ago

magari_mjukuu

🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

bongo_unlocked 5 hours ago

bongo_unlocked

Jeans kali bei kitonga 18,000

healingspacetz_ 5 hours ago

healingspacetz_

One painful truth about life... Some people only support your dreams... As long as they remain dreams. The moment they become reality... Their attitude changes.

jacks_cleaners_mwanza 5 hours ago

jacks_cleaners_mwanza

watu wangu wa mwanza na lake zone yote, unamjengo Wako umemaliza ujenzi au tayari Mnaishi ila unaitaji ule usafi deep cleaning kabisa, basi msisite kabisa kutucheck.

phillipo_gordian 5 hours ago
its_blackzero 5 hours ago

its_blackzero

Lets enjoy football🙌🔥

ko_star_store 5 hours ago

ko_star_store

Je, unataka kuonekana kijanja zaidi. Njoo nikupatie miwani ambayo unaweza kusikiliza mziki. Kupiga kicha na kuchukua video vyote kwa kifaa kimoja , Ai smart glasses , bei kitonga saaana .

More posts

back to up