16 minutes agoFella alimbania sana Harmonize...nakumsema vibaya interview nyingi...Mwenyezi Mungu ampe shifaa ...dunia sio mali yetu
23 minutes agoOya wanangu fanyeni yote ila mtaji wa kwanza ni afya achaneni na malaya, energy drink na pombe kidogo lakin😎
23 minutes ago@kassim_m_majaliwa baba hongera kwa upendo huo mkubwa uliounyesha, 👏👏 mungu akubariki sana MR.PRESIDENT.
39 minutes agoHakika mungu anaweza kubadilisha maisha ya binadamu wakati wowote muda wowote yaani ni pale tu anapotaka
