Posted On: July 22nd 2026, 06:32 pm
Mtayarishaji wa Muziki Jijini Dodoma, King Sumbali amefunguka kuwa muziki wa Dodoma unakumbwa na wimbi la kukosa sapoti kutoka kwa Wadau jambo linalokuwa kikwazo muziki huo kufika mbali .
"Ingawa wapo wakali wengi sana lakini bado hawajajua soko linahitaji nini na nini kifanyike ili sanaa ikue zaidi", Amesema King Sumbali wakati wa Mahojiano na Point Fm kwenye kipindi cha Talk Of the Town alipoulizwa kuhusu muziki wa Dodoma.
Je nini kifanyike ili muziki huu uende mbali zaidi?
📹
@ciphaleesfm____________________________
🙏 Ikumbatie Point Fm 96.5 wakati wote popote, Tufuate mitandao yote ya kijamii sambamba na kuisikiliza Online kupitia Radiobox na Radiogarden.
#pointfm96.5
#ulimwenguwaburudani